Thursday 5 December 2013

BAADA YA SHULE KUFUNGWA MWALIMU WA SEKONDARI AMUA KUUZA KAHAWA MTAANI...!!

    

Hivi ndivyo Mnyetishaji wetu alivyomnasa ticha huyu wa sekondari mkoani Dodoma akiuza kahawa mtaani ili kujinusuru na ukata wa maisha magumu ya kitaa, 

''Leta chikompe kyako nkupe kyai kya mata na kyai kya kapyaru...au kiguuju'' tcha jimmy:
  Pia mwalimu huyo pamoja na shughuli zote za uwalimu na kuuza kahawa pia na msanii anayefanya vizuri kwenye Game la music husasani mkoa wa Dodoma,



0 comments:

Post a Comment