Thursday 27 February 2014

HUMAN PAPILOMA VIRUS INFECTION.

Ugonjwa huu husababishwa na kirusi aitwaye HPV(Human Papiloma Virus), kuna aina 90 za kirusi huyu lakini aina 4 ndio huonekana mara kwa mara(HPV-6, HPV-11, HPV-16 na HPV-18)
Mara nyingi husababisha viotezo mfano kwenye picha inaweza kua kimoja au vingi mfano hapo kwenye picha, hutokea sehemu za haja ndogo, kubwa na sehemu za uzazi(uke, uume, mfuko wa uzazi)
Dalili huonekana kuanzia miezi 3 mpaka miaka 2 baada ya maambukizi

0 comments:

Post a Comment