Friday 15 November 2013

"KAPUYA HANA KOSA LA KUJIBU...HAYO NI MAMBO YAKE BINAFSI"...KAMANDA KOVA

 Akiongea na wanahabari leo mchana kamanda kova kasema hawawezi kumuita Mhe. Kapuya kasababu haya ni mambo yake binafsi na hakuna mtu yeyote ambaye amakuja hapa polisi kulalamika kutendewa vibaya na Mhe. Kapuya.
"hata hivyo kamanda kova kasema kama kuna ushahidi wowote wa kueleweka sio kusingizia mtu vituo vya polisi viko wazi masaa 24"


0 comments:

Post a Comment